Rais wa Jamhuri ya Munngano wa Tanzania Mh Dr John Pombe Magufuli ametoa agizo kwa uongozi wa tanesco kukata umeme kwa Wizara au taasisi yoyote inayokwepa kulipa bili za umeme.
Mh Rais ameyasema hayo leo katika ziara yake ya kuzindua na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa umeme wa msongo wa Kv 132 Mtwara " Tanesco pasitokee taasisi ama Wizara hata Ikulu isipolipa umeme we kata tu, hatuwezi kujiendesha kwa hasara wakati kuna watu wanakwepa kulipia gharama" wakati serikali inatoa ruzuku zake humu sasa ni wakati Tanesco ijiendeshe kwa faida.
Aidha Mh Rais ameonya tanesco kutoingia mikataba ya hovyo na makampuni ya nje yanayokuja kwa ujanja na alisema kampuni ikitaka kuja kuwekeza umeme nchini basi waje wazalishe umeme wao na wauze tanesco na wasitegemee umeme huu kufanya ujanja ili kutorudia mikataba mibovu kama symbion na makampuni mengine
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Sunday, 5 March 2017
Home
Unlabelled
Rais wa Tanzania Mh John Pombe Magufuli Awaagiza Tanesco Kukata Umeme Ikulu...!!!
Rais wa Tanzania Mh John Pombe Magufuli Awaagiza Tanesco Kukata Umeme Ikulu...!!!
Share This
About DJPOO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment